ya
kijiji kwa muda wa miaka mingi ambapo hivi sasa linatumika jengo la posta
Tandala kama ofisi ya kijiji.
Ujenzi
huo unaanza mapema mwaka huu eneo la mtaa wa Singida ambapo mpaka kufikia sasa uwanja umepatikana
tayari kwa ujenzi kuanza.
Akizungumza
na mwandishi wa habari Afisa mtendaji wa
kijiji hicho ambaye pia ni kaimu Afisa mtendaji kata ya Tandala Bw.Ambele Sanga
amesema kuwa ofisi hiyo itaanza kujengwa mapema mwaka huu
Amesema
kuwa kila kitongoji kinatakiwa kuchangia nguvu kazi ikiwemo kufyatua tofali
1500 ili ziweze kutumika katika ujenzi huo na kusema kuwa kijiji hicho
kinavitongoji 6
Pia
amevipongeza vitongoji ambavyo tayari vimekwisha kuaandaa tayari tofali ikiwemo
kitongoji cha Utsewa na Lwangilo
Katika
hatua nyingine Bw.Sanga amesema kuwa wanampango wa kujenga Intenki katika mradi
wa maji Utsewa pamoja na kuboresha miundombinu ya kitongoji cha Utsewa na
kilovoko ikiwa ni pamoja na kutoa miti ya kigeni na kupanda miti ya asili
katika vyanzo vya maji
Na Henrick Idawa
0 comments:
Post a Comment