Home » » MSANII WA FILAMU AJINYONGA GESTI

MSANII WA FILAMU AJINYONGA GESTI

Written By kitulofm on Friday, 31 January 2014 | Friday, January 31, 2014


Huyu ndie Msanii aliyekutwa amejinyonga katika nyumba ya kulala wageni TangaBaadhi ya  wasanii  waliokuwa na msanii  huyo  picha chini aliyekaa katika  kochi ni marehemu enzi za uhai wakeumati  wa  wananchi  waliofika  kushuhudia  tukio hilo

Mtu mmoja ambae ni msanii amekutwa amejinyonga katika nyumba ya kulala  wageni (gesti house) ijulikanayo kwajina safari juonir iliyopo kisosora jijini tanga.
Akidhibitisha kutokea kwa tukio hilo kamanda wa polisi mkoa wa tanga Costantino Masawe amesema mtuhuyo amefaamika kwa jina la victar Peter ambaye amejinyonga kwa kutumia mkanda wake wa Suruali  ndani ya chumba chake ambacho alikuwa kodisha yeye na wenzake waliyo kuwa wakiandaa filam yao.
Kamanda masawe amesema chanzo cha tukio hilo akijafahamika kwasasa wanaendelea kutafuta chanzo chake, na amesema marehemu alikuja jijini tanga na wasanii wenzake  kwaajili ya   kuandaa filam kwani ila kwa uchunguzi mdogo waliyofanya kikundi hicho cha akijasajiriwa na bali walikusanyana na wasanii wadogo na wakubwa filamu yao. Mwili wa marehemu umehifadhiwa kwenye hospitali kuu ya bombo iliyopo jijini hapa.
Hata hiyo kamanda huyo akusita kuwahasa wakazi wa jiji la tanga kutoa ushirikiano kwa jeshi la polisi mkoani hapa ilikuweza kukabiliana na matukio ya uvunjifu wa amani bali kila mtu azingatie kutii sheria bila shuruti kwa kufanya hivyo itasaidia kukomesha vitendo vya kialifu.
saluti kwa dullonet
Share this article :

0 comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

KITULO FM LOGO

KITULO FM LOGO
Tusikilize masaa 18 kwa siku kupitia masafa ya 97.0 FM ukiwa wilayani Makete mkoani Njombe na maeneo ya jirani

WASOMAJI WETU

KUMBUKUMBU YA HABARI ZETU

 

Copyright © 2013. KITULOFM BLOG - Haki zote zimehifadhiwa
Imetengenezwa na Edwin Moshi
Inawezeshwa na Kitulo Fm