Home » » SERIKALI BADO HAIJATOA BILIONI 143 KWA AJILI YA UJENZI WA DARAJA LA KIGAMBONI

SERIKALI BADO HAIJATOA BILIONI 143 KWA AJILI YA UJENZI WA DARAJA LA KIGAMBONI

Written By kitulofm on Tuesday, 18 March 2014 | Tuesday, March 18, 2014

Serikali imeingia kwenye lawama ikidaiwa kukwamisha kasi ya ujenzi wa Daraja la Kigamboni kutokana na kushindwa kutoa Sh.143.5 bilioni sawa na asilimia 40 ya fedha za mradi huo hadi kukamilika.


Lawama hizo zimekuja ikiwa miezi 15 imebaki kabla ya muda uliopangwa ujenzi huo kukamilika Juni mwakani.

Share this article :

0 comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

KITULO FM LOGO

KITULO FM LOGO
Tusikilize masaa 18 kwa siku kupitia masafa ya 97.0 FM ukiwa wilayani Makete mkoani Njombe na maeneo ya jirani

WASOMAJI WETU

KUMBUKUMBU YA HABARI ZETU

 

Copyright © 2013. KITULOFM BLOG - Haki zote zimehifadhiwa
Imetengenezwa na Edwin Moshi
Inawezeshwa na Kitulo Fm