Serikali
imeingia kwenye lawama ikidaiwa kukwamisha kasi ya ujenzi wa Daraja la
Kigamboni kutokana na kushindwa kutoa Sh.143.5 bilioni sawa na asilimia
40 ya fedha za mradi huo hadi kukamilika.
Lawama hizo zimekuja ikiwa miezi 15 imebaki kabla ya muda uliopangwa ujenzi huo kukamilika Juni mwakani.
0 comments:
Post a Comment