Home » » VITA VIPYA KUANGAMIZA UFISADI KENYA

VITA VIPYA KUANGAMIZA UFISADI KENYA

Written By kitulofm on Wednesday, 19 March 2014 | Wednesday, March 19, 2014

Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta ameanzisha rasmi mpango maalum wa tume ya maadili na kupambana na rushwa unaolenga kukabiliana na tatizo hilo.

Mpango huu unazinduliwa wakati Kenya ikikabiliwa na kashfa mbali mbali za ufisadi .

Rais Kenyatta ameamrisha ofisi ya mkuu wa sheria, idara inayohusika na masuala ya haki na fedha pamoja na tume ya kupambana na ufisadi nchini Kenya kubuni sera zitakazosaidia katika harakati za kupiga vita ulaji rushwa.

Share this article :

0 comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

KITULO FM LOGO

KITULO FM LOGO
Tusikilize masaa 18 kwa siku kupitia masafa ya 97.0 FM ukiwa wilayani Makete mkoani Njombe na maeneo ya jirani

WASOMAJI WETU

KUMBUKUMBU YA HABARI ZETU

 

Copyright © 2013. KITULOFM BLOG - Haki zote zimehifadhiwa
Imetengenezwa na Edwin Moshi
Inawezeshwa na Kitulo Fm