Home » » WABUNGE MAREKANI WAPUUZA OMBI LA SNOWDEN

WABUNGE MAREKANI WAPUUZA OMBI LA SNOWDEN

Written By kitulofm on Monday, 4 November 2013 | Monday, November 04, 2013

Wabunge wenye ushawishi mkubwa katika bunge la Marekani wametupilia mbali ombi la aliyekuwa mfanyakazi wa shirika la taifa la usalama la Marekani, NSA, Edward Snowden kutaka msamaha.

Mvujishaji wa siri za Marekani Edward Snowden ukimbizini mjini Moscow
Mvujishaji wa siri za Marekani Edward Snowden ukimbizini mjini Moscow
 
Wabunge hao walieleza msimamo wao kuhusu Edward Snowden katika mahojiano na kituo cha televisheni cha CBS jana Jumapili.
 SOMA ZAIDI BONYEZA HAPA
Share this article :

0 comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

KITULO FM LOGO

KITULO FM LOGO
Tusikilize masaa 18 kwa siku kupitia masafa ya 97.0 FM ukiwa wilayani Makete mkoani Njombe na maeneo ya jirani

WASOMAJI WETU

KUMBUKUMBU YA HABARI ZETU

 

Copyright © 2013. KITULOFM BLOG - Haki zote zimehifadhiwa
Imetengenezwa na Edwin Moshi
Inawezeshwa na Kitulo Fm