Home » » NIGERIA:WAWASAKA WATOTO MSITUNI

NIGERIA:WAWASAKA WATOTO MSITUNI

Written By kitulofm on Thursday 17 April 2014 | Thursday, April 17, 2014

Shule ya mabweni iliyovamiwa huku wasichana zaidi ya miamoja wakitekwa nyara

Wazazi wa takriban watoto miamoja waliotekwa nyara na watu wanaoshukiwa kuwa wapiganaji wa kundi la Boko Haram wameingia msituni kuwatafuta watoto wao.
Wasichana hao walitekwa nyara kutoka shuleni mwao katika eneo moja la vijijini Kaskazini Mashariki mwa Nigeria Jumatatu usiku.
Mwandishi wa BBC nchini Nigeria anasema kuwa ni hatari sana kwa wazazi hao hata kutafakari kuingia msituni , kwani wapiganaji wa Boko Haram wamewaua mamia ya watu mwaka huu , kwa kuwakata vichwa vyao.
Share this article :

0 comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

KITULO FM LOGO

KITULO FM LOGO
Tusikilize masaa 18 kwa siku kupitia masafa ya 97.0 FM ukiwa wilayani Makete mkoani Njombe na maeneo ya jirani

WASOMAJI WETU

KUMBUKUMBU YA HABARI ZETU

 

Copyright © 2013. KITULOFM BLOG - Haki zote zimehifadhiwa
Imetengenezwa na Edwin Moshi
Inawezeshwa na Kitulo Fm