Home » » KIONGOZI WA UPINZANI AONGEZEWA KUFUNGO

KIONGOZI WA UPINZANI AONGEZEWA KUFUNGO

Written By kitulofm on Sunday, 15 December 2013 | Sunday, December 15, 2013

Mahakama ya juu zaidi nchini Rwanda imemhukumu kiongozi wa Upinzani nchini humo Victoire Ingabire kifungo cha miaka 15.
Mwanamama huyo aliyekuwa ana nia ya kuwania Urais Victoire Ingabire aliongezewa hukumu hiyo ambayo awali alihukumiwa miaka minane na baada ya kukata rufaa akaongezewa mpaka miaka 15.
Awali mwezi Oktoba mwaka huu , Ingabire ambaye ana asili ya Kihutu alikuwa na hatia ya ugaidi, ambapo alikana kutokea mauaji ya kimbari dhidi ya kabila la Watutsi.
SOMA ZAIDI:MWANANCHI
Share this article :

0 comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

KITULO FM LOGO

KITULO FM LOGO
Tusikilize masaa 18 kwa siku kupitia masafa ya 97.0 FM ukiwa wilayani Makete mkoani Njombe na maeneo ya jirani

WASOMAJI WETU

KUMBUKUMBU YA HABARI ZETU

 

Copyright © 2013. KITULOFM BLOG - Haki zote zimehifadhiwa
Imetengenezwa na Edwin Moshi
Inawezeshwa na Kitulo Fm