Wadhifa wa Urais wa Tanzania umeendelea kujikuta
njia panda kila unapofika wakati wa kuidhinisha kutekelezwa kwa adhabu
ya kifo kwa waliohukumiwa kunyongwa hadi kufa na mahakama, na suala hilo
limekuwa gumu kutekelezwa katika awamu zote nne za uongozi.
SOMA ZAIDI
SOMA ZAIDI
0 comments:
Post a Comment