Wazazi Mkoani Njombe Wametakiwa Kuwaendeleza Watoto Wao Kitaaluma Ikiwa ni Pamoja na Kuwapatia Mafunzo ya Fani Mbalimbali Zinazotolewa na Taasisi za vyuo Vilivyopo Mkoani Njombe, Jambo Ambalo litasaidia Kupunguza Tatizo la Ajira Miongoni Mwa Vijana Mkoani Njombe.
Akizungumza Kwa Niaba ya Mkurugenzi wa Benki ya NJOCOBA Wakati wa Mahafali ya Kwanza ya Chuo Cha Utalii na Uandishi wa Habari Cha Eckros Njombe,Mwakilishi wa Mkurugenzi Bw Mfikwa Amesema Kuwa Vijana Wanaweza Kuondokana na Tatizo la Ajira Endapo Wataendelezwa Kitaaluma na Hivyo Kuwataka Wazazi Kutokata Tamaa Dhidi ya Vijana Hao.
Amesema Pamoja na Mambo Mengine Uongozi wa Chuo Unatakiwa Kutatua Baadhi ya Changamoto Zinazokikabili Chuo Hicho Ili Kuhakikisha Inaboresha Hali ya Taaluma na Kiwango Cha Elimu Inayotolewa Chuoni Hapo Jambo Litakalosaidia Kuwa na Wahitimu Wenye Uwezo Kitaaluma na Kufanya Kazi Kwa Ubora.
SOMA ZAIDI;eddy blog
Akizungumza Kwa Niaba ya Mkurugenzi wa Benki ya NJOCOBA Wakati wa Mahafali ya Kwanza ya Chuo Cha Utalii na Uandishi wa Habari Cha Eckros Njombe,Mwakilishi wa Mkurugenzi Bw Mfikwa Amesema Kuwa Vijana Wanaweza Kuondokana na Tatizo la Ajira Endapo Wataendelezwa Kitaaluma na Hivyo Kuwataka Wazazi Kutokata Tamaa Dhidi ya Vijana Hao.
Amesema Pamoja na Mambo Mengine Uongozi wa Chuo Unatakiwa Kutatua Baadhi ya Changamoto Zinazokikabili Chuo Hicho Ili Kuhakikisha Inaboresha Hali ya Taaluma na Kiwango Cha Elimu Inayotolewa Chuoni Hapo Jambo Litakalosaidia Kuwa na Wahitimu Wenye Uwezo Kitaaluma na Kufanya Kazi Kwa Ubora.
SOMA ZAIDI;eddy blog
0 comments:
Post a Comment